KARIBU KWENYE TOVUTI RASMI YA SHEIKH SHAHID MUHAMMAD

VITABU VINAVYOFUNDISHWA

Ratiba ya Darsa
RATIBA YA DARSA MASJID ABEID MWANZA
SIKU KIPINDI SHEIKH
JUMATATU TAWHEED SHAHID MUHAMMAD
JUMANNE FIQHI NAHMAN MUSSA
JUMATANO TAWHEED SHAHID MUHAMMAD
ALHAMISI HADITH ABDULBAST OTHMAN
IJUMAA QUR’AN ABDULHAFIDH IDRISA
JUMAMOSI LUGHA KHALIFA ISSA
JUMAPILI QUR’AN ABDULHAFIDH IDRISA
BAADA YA SWALA YA MAGHRIBI HADI ISHA
Ratiba ya Darsa
RATIBA YA DARSA MASJID ABEID MWANZA
SIKU KIPINDI SHEIKH
JUMATATU TAWHEED SHAHID MUHAMMAD
JUMANNE FIQHI NAHMAN MUSSA
JUMATANO TAWHEED SHAHID MUHAMMAD
ALHAMISI HADITH ABDULBAST OTHMAN
IJUMAA QUR’AN ABDULHAFIDH IDRISA
JUMAMOSI LUGHA KHALIFA ISSA
JUMAPILI QUR’AN ABDULHAFIDH IDRISA
BAADA YA SWALA YA MAGHRIBI HADI ISHA

UKUMBUSHO

Sheikh Shahid Mohamed ni miongoni mwa Masheikh na walinganiaji wa Dini tukufu ya Uislamu katika Manhaji ya Ahlusunnati waljamaa jijini Mwanza-Tanzania, ni Sheikh wa Masjid Abeid Msikiti uliyopo chini ya Taasisi ya The Islamic Foundation Mwanza.

Ni miongoni mwa wasomi waliopata elimu ya Sharia ya Kiislam Nchini Saudi Arabia. Amemaliza Degree yake ya Sharia (Islamic Law) katika chuo kiitwacho IMAMU MUHAMMAD BIN SAUD UNIVERSITY mwaka 2012.

Pamoja na kazi ya Ualimu na Da’awa, pia ni Mtarjimu wa vitabu vya Dini vyenye mlengo wa kuelimisha jamii. 

Miongoni mwa vitabu alivyo wahi kutarjimu ni: –

  1. Ujumbe wa Uislamu kwa Ulimwengu, cha Dr. Abdur-rahmaan Al-Sheha.
  2. Shia Ithna Asharia ni watu gani? Cha Sheikh Abdalla bin Muhammad .
  3. Tafsiri ya sehemu ya kumi ya mwisho katika Qur-an
  4. Je, haujafika wakati wa wewe kuwa Kuislam?, cha Dr. Abdur-rahman
  5. Mtume Mtukufu.
  6. Ufunguo wa kuufahamu Uislamu.