AQIDAT
AHL AL-SUNNAH WA AL-JAMA'AH

AQIDA YA AHLUS-SUNNAH WAL-JAMA‘AH –SHEIKH: IBN ‘UTHAYMIN رحمه الله

Kitabu hiki kinabainisha misingi ya itikadi sahihi ya Uislamu:

• Kumpwekesha Mwenyezi Mungu katika ibada, majina na sifa Zake.
• Kusadikisha Qur’an kuwa ni maneno ya Allah.
• Kumfuata Mtume Muhammad ﷺ kama Mtume wa mwisho.
• Kuamini Malaika, Mitume, Vitabu, Siku ya Mwisho na Qadar.
• Kuwapenda Maswahaba na kushikamana na Jama‘a ya Waislamu.
• Kuepuka bid‘ah na kushikamana na Qur’an na Sunnah.

Kitabu hiki kimesomeshwa na Sheikh Shahid Muhammad ndani ya Masjid Abeid – Mwanza, katika darsa za Jumatatu na Jumatano kuanzia mwaka 2023 hadi 2024.
Katika audio za darsa hizi, Sheikh amefafanua kwa kutumia mifano halisi ya maisha ya sasa, na kuzifungamanisha dalili za Qur’an na Sunnah na matukio ya kila siku, kwa lugha nyepesi ya Kiswahili inayoeleweka kwa wote.

KITABU AQIDAT AHLISUNNA WAL-JAMAA

AUDIO ZA DARSA ZA KITABU HIKI

DARSA YA 01


DARSA YA 02


DARSA YA 03


DARSA YA 04


DARSA YA 05


DARSA YA 06


DARSA YA 07


DARSA YA 08


DARSA YA 09


DARSA YA 10


DARSA YA 11


DARSA YA 12


DARSA YA 13


DARSA YA 14


DARSA YA 15


DARSA YA 16


DARSA YA 17


DARSA YA 18


DARSA YA 19


DARSA YA 20


DARSA YA 21


DARSA YA 22


DARSA YA 23


DARSA YA 24


DARSA YA 25


DARSA YA 26


DARSA YA 27


DARSA YA 28


DARSA YA 29


DARSA YA 30


DARSA YA 31


DARSA YA 32


DARSA YA 33


DARSA YA 34


DARSA YA 35